Jumanne, Mei 07, 2024
Serikali yasema vyombo vya habari vimepotosha taarifa yake. Yasema matumizi ya tiba isiyo sahihi ya ugonjwa huo ndio yanaweza kusababisha upofu. Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari ikiwemo kunawa mikono mara kwa mara.
TMDA ilishakanusha uwezekano wa virusi hivyo kukaa kwenye vidonge. Aidha dawa hiyo haijasajiliwa kuuzwa hapa nchini Tanzania.
Ni Mombasa nchini Kenya. Uchunguzi wa Nukta Fakti umebaini chanzo si fumanizi kama ilivyoelezwa awali.
Wataalamu wasema vijidudu vya kipindupindu huzaliana zaidi vikiwa kwenye maji ya baridi au yaliyoganda
Yasema haitambui kampuni ya Branch Mikopo inayodaiwa kutoa mikopo hiyo kwa udhamini wa Ofisi ya Waziri Mkuu.
Taarifa zaeleza ni mzima na ana afya njema.