Simu za mkononi kinara matumizi ya vifaa vya kielektroniki majumbani

January 13, 2020 3:02 pm · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Matumizi ya simu katika kaya yamefikia asilimia 78.1 hadi mwaka 2017 ikiwa ni mara tatu zaidi ya matumizi ya televisheni.
  • Mabaki ya vifaa vya umeme na kielektroniki huchangia uharibifu wa mazingira.

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Ripotiya Takwimu za Taifa za Taka za Kielektroniki ya mwaka 2019 iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) inaeleza kuwa simu za mkononi ndiyo zinaongoza kwa matumizi makubwa ya vifaa vya umeme na kielektroniki vinavyotumiwa na kaya za Tanzania Bara. 

Ripoti hiyo inaeleza kuwa matumizi ya simu katika kaya yamefikia asilimia 78.1 hadi mwaka 2017 ikiwa ni mara tatu zaidi ya matumizi ya televisheni ambazo hutumika kupata taarifa mbalimbali ili kuwawezesha watu kufanya maamuzi katika shughuli za maendeleo.

Hata hivyo, mabaki ya vifaa vya umeme na kielektroniki huchangia uharibifu wa mazingira huku ripoti hiyo ikieleza kuwa uanzishwaji wa sera na sheria maalum zinazosimamia taka za kielektroniki unaweza kusaidia udhibiti wa taka hizo na kuokoa mazingira.

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Nukta TV

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Nukta TV

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Nukta TV