Unayotakiwa kufahamu kuhusu virusi vya Corona
February 3, 2020 3:04 pm ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Kwa mujimu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), hadi kufikia Februari 2, 2020, watu zaidi ya 14,500 wameambukizwa virusi vya Corona na tayari vimesambaa kwenye mataifa 24 licha ya serikali nyingi kuweka marufuku ya kuingia kwa watu wanaotoka China ambako takriban asilimia 99 ya visa vimeripotiwa.
Latest

3 days ago
·
Fatuma Hussein
WHO: Watu zaidi ya milioni 300 duniani wanahitaji msaada wa afya ya akili

4 days ago
·
Lucy Samson
Wizara ya Elimu yatangaza ufadhili wa masomo Russia

4 days ago
·
Fatuma Hussein
Marekani yaiwekea Tanzania masharti dhamana ya viza

4 days ago
·
Lucy Samson
Habari za uzushi zinavyoweza kuathiri uchaguzi wa kidemokrasia