Unayotakiwa kufahamu kuhusu virusi vya Corona
February 3, 2020 3:04 pm ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Kwa mujimu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), hadi kufikia Februari 2, 2020, watu zaidi ya 14,500 wameambukizwa virusi vya Corona na tayari vimesambaa kwenye mataifa 24 licha ya serikali nyingi kuweka marufuku ya kuingia kwa watu wanaotoka China ambako takriban asilimia 99 ya visa vimeripotiwa.

Latest
1 day ago
·
Fatuma Hussein
Wasichana wang’ara matokeo darasa la nne, kidato cha pili
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Necta yatangaza matokeo ya darasa la nne, kidato cha pili ufaulu waongezeka kiduchu
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Matokeo darasa la nne, kidato cha pili haya hapa
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Panda shuka za Paul Makonda katika siasa