Unayotakiwa kufahamu kuhusu virusi vya Corona
February 3, 2020 3:04 pm ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Kwa mujimu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), hadi kufikia Februari 2, 2020, watu zaidi ya 14,500 wameambukizwa virusi vya Corona na tayari vimesambaa kwenye mataifa 24 licha ya serikali nyingi kuweka marufuku ya kuingia kwa watu wanaotoka China ambako takriban asilimia 99 ya visa vimeripotiwa.

Latest
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Kitendawili, hesabu ikiwatoa jasho watahiniwa kidato cha nne 2025
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Ufaulu kidato cha nne unavyopanda na kushuka Tanzania
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Waliofutiwa matokeo kidato cha nne 2025 waongezeka
2 days ago
·
Lucy Samson
Necta yatangaza matokeo ya kidato cha nne 2025