Unayotakiwa kufahamu kuhusu virusi vya Corona
February 3, 2020 3:04 pm ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Kwa mujimu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), hadi kufikia Februari 2, 2020, watu zaidi ya 14,500 wameambukizwa virusi vya Corona na tayari vimesambaa kwenye mataifa 24 licha ya serikali nyingi kuweka marufuku ya kuingia kwa watu wanaotoka China ambako takriban asilimia 99 ya visa vimeripotiwa.

Latest
6 hours ago
·
Fatuma Hussein
Sababu zinazoweza kuathiri uwezo wa mwanamke kupata ujauzito
8 hours ago
·
Lucy Samson
Shilingi ya Tanzania yaanza kuimarika dhidi ya Dola ya Marekani
14 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Februari 24, 2026
1 day ago
·
Fatuma Hussein
Maoni mchanganyiko tume ya uchunguzi wa matukio ya Oktoba 29 ikiongezewa muda