Kobe mwenye vichwa viwili atimiza miaka 20

September 6, 2017 8:16 am · Daniel
Share
Tweet
Copy Link

Maajabu katika hii dunia hayajawi  kuisha septemba 3 kobe  aitweye star Janus amesherekea miaka 20 toka kuzaliwa kwake.

Kobe huyo mwenye vichwa viwili  ambaye anatuzwa huko katika jumba la makumbusho la kihistoria la Geneva (Geneva Museum of Natural History’s) akiwa kobe mwenye maumbile ya kipekee kabisa.

Jina hilo la Janus ambalo kobe huyo amepewa linatokana na jina la miungu ya kirumi Janus .Janus (star janus) alizaliwa spetemba 3 1997, katika jumba la Makumbusho la kihistoria la Geneva kutoka katika yai lilokuwa kwenye atamizi.

Watafiti wanasema wanyama wenye vichwa viwili ni nadra kuishi muda mrefu ,lakini jumba la Makumbusho la kihistoria la Geneva limefanya kazi kubwa na yaziada mpaka kufanikisha rekodi hiyo ya manyama mwenye maumbile kama hayo kuishi muda mrefu.

Kobe huyo ambae anaishi vizuri kwenye makumbusho hayo ndio anae shikilia rekodi ya kobe wenye vichwa viwili aliyeishi kwa muda mrefu mpaka sasa.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
15 Jun, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV