Kobe mwenye vichwa viwili atimiza miaka 20

September 6, 2017 8:16 am · Daniel
Share
Tweet
Copy Link

Maajabu katika hii dunia hayajawi  kuisha septemba 3 kobe  aitweye star Janus amesherekea miaka 20 toka kuzaliwa kwake.

Kobe huyo mwenye vichwa viwili  ambaye anatuzwa huko katika jumba la makumbusho la kihistoria la Geneva (Geneva Museum of Natural History’s) akiwa kobe mwenye maumbile ya kipekee kabisa.

Jina hilo la Janus ambalo kobe huyo amepewa linatokana na jina la miungu ya kirumi Janus .Janus (star janus) alizaliwa spetemba 3 1997, katika jumba la Makumbusho la kihistoria la Geneva kutoka katika yai lilokuwa kwenye atamizi.

Watafiti wanasema wanyama wenye vichwa viwili ni nadra kuishi muda mrefu ,lakini jumba la Makumbusho la kihistoria la Geneva limefanya kazi kubwa na yaziada mpaka kufanikisha rekodi hiyo ya manyama mwenye maumbile kama hayo kuishi muda mrefu.

Kobe huyo ambae anaishi vizuri kwenye makumbusho hayo ndio anae shikilia rekodi ya kobe wenye vichwa viwili aliyeishi kwa muda mrefu mpaka sasa.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV