Idadi ya wazee duniani kufikia bilioni 1.5 mwaka 2050

October 1, 2022 10:57 am · admin
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa (UN) hadi mwaka 2019 kulikuwa na jumla ya wazee milioni 703 ambao walikuwa na umri kuanzia miaka 65 na kuendelea.

Idadi hiyo ilikuwa mara mbili zaidi ya watu waliokuwa na umri wa chini ya miaka mitano mwaka 2020.

Ikiwa leo Oktoba Mosi, ni maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani, UN imesema katika miongo mitatu ijayo idadi ya wazee itaongezeka na kufikia 1.5 bilioni huku mataifa ya Kusini Mashariki mwa Asia yakishuhudia ongezeko kubwa zaidi la wazee. 

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW