Idadi ya wazee duniani kufikia bilioni 1.5 mwaka 2050
October 1, 2022 10:57 am ·
admin

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa (UN) hadi mwaka 2019 kulikuwa na jumla ya wazee milioni 703 ambao walikuwa na umri kuanzia miaka 65 na kuendelea.
Idadi hiyo ilikuwa mara mbili zaidi ya watu waliokuwa na umri wa chini ya miaka mitano mwaka 2020.
Ikiwa leo Oktoba Mosi, ni maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani, UN imesema katika miongo mitatu ijayo idadi ya wazee itaongezeka na kufikia 1.5 bilioni huku mataifa ya Kusini Mashariki mwa Asia yakishuhudia ongezeko kubwa zaidi la wazee.
Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
