Idadi ya wazee duniani kufikia bilioni 1.5 mwaka 2050

October 1, 2022 10:57 am · admin
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa (UN) hadi mwaka 2019 kulikuwa na jumla ya wazee milioni 703 ambao walikuwa na umri kuanzia miaka 65 na kuendelea.

Idadi hiyo ilikuwa mara mbili zaidi ya watu waliokuwa na umri wa chini ya miaka mitano mwaka 2020.

Ikiwa leo Oktoba Mosi, ni maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani, UN imesema katika miongo mitatu ijayo idadi ya wazee itaongezeka na kufikia 1.5 bilioni huku mataifa ya Kusini Mashariki mwa Asia yakishuhudia ongezeko kubwa zaidi la wazee. 

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
15 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Nukta TV

Rais Samia: Kalamu yangu ina hatari, sijawahi kusaini mtu kunyongwa

Rais Samia: Kalamu yangu ina hatari, sijawahi kusaini mtu kunyongwa

Nukta TV

Rais Samia: Matumizi jina Samia, likiwa kila mahali inachosha, tafuteni wengine

Rais Samia: Matumizi jina Samia, likiwa kila mahali inachosha, tafuteni wengine

Nukta TV