CHATI YA SIKU: Yanayofahamika kutoka mahafali ya 48 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
November 16, 2018 11:38 am ·
Mwandishi
Yanayofahamika kutoka katika mahafali ya 48 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yanayofanyika leo Novemba 13 na 17, 2018.Â
Idadi ya wahitimu wa kiume ni karibu mara mbili zaidi ya wahitimu wa kike jambo linalozua maswali ni lini wanawake wataweza kufikia angalau nusu kwa nusu ya wanaume katika elimu hiyo ya juu.
