CHATI YA SIKU: Yanayofahamika kutoka mahafali ya 48 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

November 16, 2018 11:38 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Yanayofahamika kutoka katika mahafali ya 48 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yanayofanyika leo Novemba 13 na 17, 2018. 

Idadi ya wahitimu wa kiume ni karibu mara mbili zaidi ya wahitimu wa kike jambo linalozua maswali ni lini wanawake wataweza kufikia angalau nusu kwa nusu ya wanaume katika elimu hiyo ya juu.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW