Mawaziri Wakuu wa Tanzania tangu uhuru

November 12, 2025 2:48 pm · Kelvin Makwinya
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Tangu Tanganyika ilipopata uhuru mwaka 1961, nafasi ya Waziri Mkuu imekuwa mhimili muhimu katika uendeshaji wa serikali na utekelezaji wa sera za taifa. Kuanzia kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Waziri Mkuu wa kwanza wa Tanganyika, hadi kwa Kassim Majaliwa Majaliwa, Waziri Mkuu wa sasa. 

Tanzania imepitia viongozi waliotoa mchango mkubwa katika kuimarisha utawala, uchumi, na amani ya nchi. Wengine waliowahi kushika nafasi hiyo ni pamoja na Rashidi Kawawa, Edward Sokoine, Cleopa Msuya, Salim Ahmed Salim, Joseph Warioba, John Malecela, Frederick Sumaye, Edward Lowassa, na Mizengo Pinda. 

Kila mmoja ameacha alama katika historia ya uongozi wa taifa, lakini je, ni nani atakwenda kurithi nafasi hiyo kutoka kwa Waziri Mkuu wa sasa Kassim Majaliwa ?

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
21 Jun, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
21 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
21 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwanzo mwisho mapokezi ya Rais wa Namibia Netumbo Nandi Ikulu Dar es Salaam

Mwanzo mwisho mapokezi ya Rais wa Namibia Netumbo Nandi Ikulu Dar es Salaam

Nukta TV

Sikia kisa cha bibi wa Mbagala, chanzo Jaji Mkuu Masaju kupanda cheo

Sikia kisa cha bibi wa Mbagala, chanzo Jaji Mkuu Masaju kupanda cheo

Nukta TV

FAHAMU KUHUSU SIKOSELI | Part 1: Ugonjwa wa kurithi, unaotesa maelfu ya watoto Tanzania

FAHAMU KUHUSU SIKOSELI | Part 1: Ugonjwa wa kurithi, unaotesa maelfu ya watoto Tanzania

Nukta TV