Habari za uzushi zinavyoweza kuathiri uchaguzi wa kidemokrasia
October 9, 2025 12:37 pm ·
Lucy Samson
- Ni pamoja na kuvuga amani na utulivu wa nchi.
Arusha. Wakati zikisalia siku 20 kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utakaofanyika Oktoba 29, 2025 jamiii imeshauriwa kujihadhari na habari za uzushi zinazoweza kuathiri zoezi hilo la kidemokrasia.
Miongoni mwa athari zinazoweza kusababishwa na habari hizo za uzushi kuhusu uchaguzi ni wapiga kura kufanya maamuzi yasiyo sahihi wakati wa kuchagua viongozi pamoja na Kuvuruga amani na utulivu wa nchi.
Athari nyingine ni kupunguza imani ya wananchi kwa taasisi zinazosimamia uchagu kujenga na kusambaza chuki, hofu na mgawanyiko wa watu kwenye jamii, kuharibu heshima na uaminifu wa wagombea kwa wapiga kura na kusababisha mwitikio mdogo wa watu siku ya kupiga kura

Latest
12 hours ago
·
Fatuma Hussein
Mwigulu alaani vitendo vvya uvunjifu wa amani
12 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Jeshi la Polisi lapiga marufuku maandamano ya Disemba 9
13 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Balozi 16 za EU zalaani yaliyotokea Oktoba 29
14 hours ago
·
Fatuma Hussein
Malaria bado ni tishio duniani, maambukizi yaongezeka