Bei ya viazi mviringo haishikiki mkoani Pwani
August 26, 2024 9:52 pm ·
Hemed Suleman

Gunia la kilo 100 la viazi mviringo linauzwa kwa bei ya juu katika mkoa wa Pwani kwa Sh160,000 ikiwa ni karibu mara tatu zaidi ya bei ya chini ya Sh60,000 iliyorekodiwa mkoani Rukwa.
Latest
12 hours ago
·
Lucy Samson
TMA: Mvua kubwa kunyesha kesho katika mikoa mitano
17 hours ago
·
Lucy Samson
Jenista Mhagama afariki dunia
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Jeshi la Polisi: Hali ya usalama ni shwari Tanzania
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha Tanzania Desemba 10, 2025