Fahamu haya kuhusu matumizi ya intaneti, mitandao ya kijamii duniani

February 14, 2019 6:35 pm · Zahara
Share
Tweet
Copy Link

Kwa mujibu wa ripoti ya Dijitali ya Januari 2019 iliyotolewa kampuni ya We are social ya nchini Marekani inaeleza kuwa licha ya changamoto za usiri, udukuzi, habari za uongo na mambo mengine hasi ya maisha ya mtandaoni, bado dunia inaendelea kushikamana na intaneti na mitandao ya kijamii. 

Ukuaji wa matumizi ya intaneti duniani hauonyeshi dalili yoyote ya kupungua huku maelfu ya watu wakiingia mtandaoni kila siku. Ukuaji huo ndiyo unaochochea matumizi ya mitandao ya kijamii.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: PROF. MASWALI YA WABUNGE KWA MAWAZIRI | BUNGE LA 13 | KIKAO HA 25

🔴LIVE: PROF. MASWALI YA WABUNGE KWA MAWAZIRI | BUNGE LA 13 | KIKAO HA 25

Nukta TV

Serikali yaanika mpango,kudhibiti kupanda kwa gharama za usafirishaji

Serikali yaanika mpango,kudhibiti kupanda kwa gharama za usafirishaji

Nukta TV

Hatua za Serikali kuhakikisha mafutata yanapatikana wa nchini

Hatua za Serikali kuhakikisha mafutata yanapatikana wa nchini

Nukta TV