VIDEO: Mambo ya kuzingatia kupata afya bora uzeeni

September 7, 2020 1:07 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuzingatia  mlo bora na wenye uwiano.
  • Mazoezi na kujishughulisha katika kazi nyepesi, vinaweza kuwasaidia kuepukana na mawazo.

Dar es Salaam. Wazee ni kati ya kundi ambalo linahitaji uangalizi wa karibu ikiwa ni pamoja na kuwajali na kuwathamini.

Hata hivyo, wakiwa katika hali hiiyo ya mwili kuchoka, yapo mambo ambayo wanapaswa kuyazingatia ili kuwa na afya bora na kubaki salama yakiwemo kuzingatia mlo wao wa kila siku.

Kwa mujibu wa mtaalamu wa afya, Dk Joshua Sultan, wazee wanashauriwa kula chakula chenye uwiano pamoja na maji mengi ili kuwasaidia kubaki katika afya njema.

“Ulaji wa matunda ya kutosha pamoja na kunywa maji mengi kutamsaidia mzee kurahisisha mmeng’enyo wa chakula huku maji yakimkinga na maradhi ya figo ambayo huwapata wazee wengi,” ameelezea Dk Sultan.

Kufahamu zaidi tazama video hii hapa chini.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
15 Jun, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV