Tahadhari: Unene uliopitiliza unaweza kumpata kila mtu

September 30, 2020 7:24 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Tatizo hilo linaweza kumpata mtu yoyote duniani.
  • Unene uliopitiliza huchangia kupata kisukari, kiharusi na magonjwa ya moyo.
  •  Shirika la Afya Duniani (WHO) lataka mshikamano kumaliza tatizo hilo.

Dar es Salaam. Kama bado una fikra kuwa unene uliopitiliza (obesity) unawapata watu wenye kipato kizuri hasa katika nchi zilizoendelea duniani, utakuwa unajidanganya. 

Kwa sasa, tatizo hilo linawapata watu wote hata wasio na fedha katika nchi maskini. 

Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema tatizo hilo la kiafya limesamba kila mahali duniani ambapo takriiban watu milioni 2.8 hufariki dunia kila mwaka kutokana na unene uliopitiliza. 

“Zamani ulikuwa unahusishwa na nchi zenye kipato cha juu (high-income countries), kwa sasa unene uliopitiliza unawakumba hata watu waliopo kwenye nchi zenye kipato cha kati na chini,” inaeleza WHO.

Shirika hilo imezitaka serikali, washirika wa kimataifa, asasi za kiraia, mashirika yasiyo ya kiserikari na sekta binafsi kushikamana kuzuia na kupunguza tatizo la unene uliopitiliza. 

Unene uliopitiliza huchangia kupata magonjwa ya kisukari, moyo na kiharusi.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
25 Aug, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
25 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
25 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Elimu ya kodi mwarobaini wa wafanyabiashara kuikwepa TRA, ianzie shuleni

Elimu ya kodi mwarobaini wa wafanyabiashara kuikwepa TRA, ianzie shuleni

Nukta TV

Rais Samia: Serikali chini ya Magufuli haikutaka kuyumbishwa kukamili kwa JNHPP

Rais Samia: Serikali chini ya Magufuli haikutaka kuyumbishwa kukamili kwa JNHPP

Nukta TV

Rais Samia: Umeme wa SGR hautoingiliwa, Dodoma umeme uhakika 24/7

Rais Samia: Umeme wa SGR hautoingiliwa, Dodoma umeme uhakika 24/7

Nukta TV