Corona: Zingatia haya unapopokea mgeni nyumbani

March 10, 2021 12:41 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuendeleza tabia za kujikinga na corona hata mnapokuwa nyumbani ikiwemo kuvaa barakoa na kunawa mikono.

Dar es Salaam. Miaka mitatu iliyopita, kupokea mgeni nyumbani huenda lilikua jambo la kheri na wageni walipokelewa kwa makumbato mazito kutoka kwa wenyeji wakifurahia ujio wao huku watoto wakishangilia kwa mapokezi tofauti tofauti na kupokea mizigo ya mgeni.

Hata hivyo, huenda tamaduni hizo zikabadilika katika kipindi hiki cha mpito cha ugonjwa wa Corona ambapo kila mtu anatakiwa kuchukua tahadhari kwa kuepuka na mgusano kati ya mtu na mtu ama kitu na mtu bila kuwepo ulazima.

Hata hivyo, maisha ni lazima yaendelee ikiwa ni pamoja na kupokea wageni hasa pale panapokuwa na ulazima wa ugeni huo. Zipo tahadhari ambazo unaweza kuzichukua unapopokea mgeni. Siyo unyanyapaa, ni tahadhari.

Tazama video hii kujifunza zaidi:

                        

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.