Zifahamu njia za kujikinga na saratani ya shingo ya kizazi
January 14, 2023 11:26 am ·
Lucy Samson
- Njia hizo ni pamoja na kupata chanjo, kufanya uchunguzi wa mapema, vipimo pamoja na matibabu.
- WHO inasema utambuzi wa mapema wa ugonjwa huo unaweza kupunguza idadi ya vifo vya kila mwaka vitokanavyo na saratani hiyo.
Dar es Salaam. Kila mwaka mamilioni ya wanawake hupoteza maisha kutokana na kansa ya shingo ya kizazi, jambo la faraja ni kwamba zipo njia zitakazo kuwezesha kuepukana na madhara ya ugonjwa huo ikiwemo kifo.
kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) uchunguzi na matibabu ya mapema ya ugonjwa huo yanaweza kunusuru vifo vya wananwake wengi.
“Saratani ya shingo ya kizazi inazuilika, lakini upatikanaji duni wa kinga, uchunguzi na matibabu huchangia asilimia 90 ya vifo,”inasema WHO.
Latest

3 days ago
·
Esau Ng'umbi
CCM yaahidi kutengeneza ajira milioni 8 ifikapo 2030

4 days ago
·
Kelvin Makwinya
Bajeti ya Wizara ya Ardhi yapungua kwa Sh7.2 bilioni 2025/26

6 days ago
·
Fatuma Hussein
Bajeti Wizara ya Maendeleo yaongezeka kwa asilimia 11.9

6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Tanzania kujenga kituo cha upandikizaji figo kikubwa zaidi Afrika