Zifahamu njia za kujikinga na saratani ya shingo ya kizazi
January 14, 2023 11:26 am ·
Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link
- Njia hizo ni pamoja na kupata chanjo, kufanya uchunguzi wa mapema, vipimo pamoja na matibabu.
- WHO inasema utambuzi wa mapema wa ugonjwa huo unaweza kupunguza idadi ya vifo vya kila mwaka vitokanavyo na saratani hiyo.
Dar es Salaam. Kila mwaka mamilioni ya wanawake hupoteza maisha kutokana na kansa ya shingo ya kizazi, jambo la faraja ni kwamba zipo njia zitakazo kuwezesha kuepukana na madhara ya ugonjwa huo ikiwemo kifo.
kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) uchunguzi na matibabu ya mapema ya ugonjwa huo yanaweza kunusuru vifo vya wananwake wengi.
“Saratani ya shingo ya kizazi inazuilika, lakini upatikanaji duni wa kinga, uchunguzi na matibabu huchangia asilimia 90 ya vifo,”inasema WHO.
Latest
6 hours ago
·
Esau Ng'umbi
Kada wa Chadema ‘Boni yai’ akamatwa na Jeshi la Polisi
7 hours ago
·
Davis Matambo
Neuralink kuja na teknolojia itayowawezesha vipofu kuona
12 hours ago
·
Lucy Samson
Jinsi ya kuongeza ushiriki wa vijana kwenye uchaguzi Tanzania
15 hours ago
·
Yuster Massawe
Viwango vya kubadili fedha za kigeni Septemba 18, 2024