Zifahamu njia za kujikinga na saratani ya shingo ya kizazi
January 14, 2023 11:26 am ·
Lucy Samson
- Njia hizo ni pamoja na kupata chanjo, kufanya uchunguzi wa mapema, vipimo pamoja na matibabu.
- WHO inasema utambuzi wa mapema wa ugonjwa huo unaweza kupunguza idadi ya vifo vya kila mwaka vitokanavyo na saratani hiyo.
Dar es Salaam. Kila mwaka mamilioni ya wanawake hupoteza maisha kutokana na kansa ya shingo ya kizazi, jambo la faraja ni kwamba zipo njia zitakazo kuwezesha kuepukana na madhara ya ugonjwa huo ikiwemo kifo.
kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) uchunguzi na matibabu ya mapema ya ugonjwa huo yanaweza kunusuru vifo vya wananwake wengi.
“Saratani ya shingo ya kizazi inazuilika, lakini upatikanaji duni wa kinga, uchunguzi na matibabu huchangia asilimia 90 ya vifo,”inasema WHO.
Latest

2 hours ago
·
Lucy Samson
Serikali yawaita wahitimu wa kidato cha nne kubadili tahasusi, chuo

8 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Idara ya Uhamiaji Tanzania yatahadharisha umma na utapeli wa ajira

9 hours ago
·
Fatuma Hussein
Si kweli: TRA wametoa matokeo ya usaili wa nafasi za kazi

9 hours ago
·
Lucy Samson
Bei ya petrol, dizeli yapaa miezi minne mfululizo