Zifahamu njia za kujikinga na saratani ya shingo ya kizazi
January 14, 2023 11:26 am ·
Lucy Samson

- Njia hizo ni pamoja na kupata chanjo, kufanya uchunguzi wa mapema, vipimo pamoja na matibabu.
- WHO inasema utambuzi wa mapema wa ugonjwa huo unaweza kupunguza idadi ya vifo vya kila mwaka vitokanavyo na saratani hiyo.
Dar es Salaam. Kila mwaka mamilioni ya wanawake hupoteza maisha kutokana na kansa ya shingo ya kizazi, jambo la faraja ni kwamba zipo njia zitakazo kuwezesha kuepukana na madhara ya ugonjwa huo ikiwemo kifo.
kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) uchunguzi na matibabu ya mapema ya ugonjwa huo yanaweza kunusuru vifo vya wananwake wengi.
“Saratani ya shingo ya kizazi inazuilika, lakini upatikanaji duni wa kinga, uchunguzi na matibabu huchangia asilimia 90 ya vifo,”inasema WHO.
Latest
45 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
Sekta ya fedha inavyoimarika Tanzania
6 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha Tanzania Januari 23, 2026
23 hours ago
·
Fatuma Hussein
Mambo ya kuzingatia kabla ya kuwekeza soko la hisa
1 day ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Januari 22, 2026