Nape: Tumepanua uhuru wa vyombo vya habari Tanzania

May 2, 2022 7:58 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani amepanua uhuru wa vyombo vya habari Tanzania, jambo linalotoa fursa kwa waandishi kutekeleza majukumu yao kwa kujiamini.

Kuelekea Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Mei 3, 2022, Waziri Nape amesema wataitumia siku hiyo kufanya tathmini ya hatua zilizopigwa katika kuongeza uhuru wa kujieleza nchini hasa unahusu vyombo vya habari.

/
No matches found for this filter
30 May, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
31 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
31 May, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
AKILI UNDE INAVYOIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO

AKILI UNDE INAVYOIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO

Nukta TV

WAFAHAMU 'THE BIG FIVE' WA AFRIKA

WAFAHAMU 'THE BIG FIVE' WA AFRIKA

Nukta TV

HIVI NDIVYO UNAWEZA KUSAFISHA MENO YAKO

HIVI NDIVYO UNAWEZA KUSAFISHA MENO YAKO

Nukta TV