Afya & Maisha
Shule 1,342 zanufaika na mradi wa vyoo wa Benki ya Dunia Ni shule za msingi za umma zilizopo Tanzania ambazo zimejengewa vyoo na miundombinu ya kunawia
Jumatatu, Julai 08, 2024
Ni shule za msingi za umma zilizopo Tanzania ambazo zimejengewa vyoo na miundombinu ya kunawia
Viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni dhidi ya shilingi ya Tanzania vinavyotumika leo Julai 5, 2024
Huenda timu ya Taifa ya Tanzania ikafanya vizuri katika ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) inayotarajiwa kufanyika mwaka 2027 mara baada ya Serikali kuanisha mikakati ya kuinoa timu hiyo.
Mwenendo wa viwango vya kubadili fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania kati ya Juni na Julai 2024
Ataka Kamishna Mpya wa TRA kusimamia ukusanyaji na kuziba mianya ya wizi Amwambia atafanya ufuatiliaji wa karibu kwa kumtumia Kidata
Ni pamoja na kuimarisha ustawi wa wanawake na kupunguza athari za kiafya. Wadau wa nishati waja na mpango kuongeza usawa wa nishati nchini.
Kampuni ya nchini Afrika Kusini ITHUBA Africa kwa kushirikiana na kampuni ya Kitanzania, SF Group wametangaza rasmi kuingia katika soko la Tanzania kufufua michezo ya bahati nasibu ya Taifa ambayo imepotea kwa muda mrefu.
Ndege iliyochomwa ilikuwa ikitumika kama mgahawa katika bustani ya Uhuru. Eneo ilipo ndege hiyo ni katikati ya mji na si sehemu ya ndege kutua.
Scientists and local and international conservationists have sounded the alarm that the Lake Manyara tilapia population is fading due to overfishing and pollution
Mapato yatokanayo na shughuli za utalii wa kimataifa yameongezeka kwa asilimia 161 kipindi cha miaka mitatu huku sababu zikitajwa kuwa ni kuimarishwa kwa miundombinu na mchango wa filamu ya ‘Royal Tour’.
Ni kutokana na kuimarika na kukua kwa sekta ya anga Idadi ya abiria yaongezeka kwa asilimia 28 kwa miaka miwili Mchango wa sekta katika pato la Taifa wafikia asilimia 2.5 kutoka 0.9.