Maeneo sita ya kipaumbele bajeti Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Ni pamoja na kutambua, kuratibu na kuendeleza makundi maalum wakiwemo wafanyabiashara ndogondogo. Bajeti yapungua kwa asilimia nane, ya miradi ya maendeleo yapungua zaidi.

Serikali yaanika mikakati ya kupunguza gharama za nishati safi ya kupikia Tanzania

Ni pamoja na kuboresha miundombinu na kubuni teknolojia wezeshi.

Baada ya Hidaya TMA yaonya uwepo wa kimbunga IALY

Kitaikumba Madagascar na visiwa vya Shelisheli kwa siku nne zijazo.

Bajeti Wizara ya Habari, Mawasiliano, Teknolojia ya Habari yapungua kwa asilimia 14

Yafikia Sh180 bilioni kutoka Sh212.4 bilioni. Fedha za matumizi ya kawaida zaongezeka wakati matumizi miradi ya maendeleo yapungua. Kamati yaishauri Serikali kutoa fedha zinazoidhinishwa kwa wakati.

Tumia vyakula hivi kupunguza ukavu ukeni

Ni pamoja na parachichi, mafuta ya samaki na mboga mboga.

Afya & Maisha

Burudani

Chati & Data

Maoni & Uchambuzi

NuktaFakti

  • Si kweli: Watu saba wapofuka macho kisa ‘Red Eyes’

    Serikali yasema vyombo vya habari vimepotosha taarifa yake. Yasema matumizi ya tiba isiyo sahihi ya ugonjwa huo ndio yanaweza kusababisha upofu. Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari ikiwemo kunawa mikono mara kwa mara.

Safari