Ni pamoja na kutambua, kuratibu na kuendeleza makundi maalum wakiwemo wafanyabiashara ndogondogo.
Bajeti yapungua kwa asilimia nane, ya miradi ya maendeleo yapungua zaidi.
Yafikia Sh180 bilioni kutoka Sh212.4 bilioni.
Fedha za matumizi ya kawaida zaongezeka wakati matumizi miradi ya maendeleo yapungua.
Kamati yaishauri Serikali kutoa fedha zinazoidhinishwa kwa wakati.